Video: Msami ameeleza sababu za kuachana na Irene Uwoya

Mtu wangu kama wewe utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia mahusiano ya mastaa basi penzi la Mrembo kutoka Bongomovie (Irene Uwoya) na Mkali kutoka Bongoflevani (Msami)  litakuwa sio penzi geni kwenye macho yako leo  October 19 2016 Msami ameweka wazi sababu za kuachana na Ireen Uwoya
kuachana kama kuachana mimi sioni kama tumeacha kwasababu mimi na Ireen bado tunawasiliana sema tu mimi niliona kuna vitu haviendi sawa nikaamua kukaa pembeni yaani sina sababu maalumu ila niliamua tu mwenyewe‘>>>Irene Uwoya

0 comments:

Post a Comment