Tamasha la FIESTA 2016
lipo kwenye ziara yake ya kutembea kwenye mikoa mbalimbali Tanzania
ambapo moja ya vitu ungependa kuona ni jinsi Wasanii wanavyosafiri
pamoja kwenye basi na maongezi yao wakati mwingi.
Wakati safari ikiendelea Shilole akaamua afunje ukimya na kumtwanga swali Rapper, Young Killer kama anatumia mkorogo na hichi ndicho alichojibu Rapper huyo, Nimekusogezea video hapa chini tu wangu unaweza kuitazama
0 comments:
Post a Comment