Kuna kampeni mpya mjini inaitwa ‘Usikate Tamaa‘ iliyoandaliwa na (MeTL Group)
ambapo msanii wa bongofleva Shetta alikua kwenye desk la mbele na
wakati ikitambulishwa hiyo kampeni kwa Watanzania Shetta akaeleza jinsi
ambavyo hakukata tamaa.
Anasema
‘Niliwahi kukutana na kitu ambacho sitosahau katika maisha yangu
nilishawahi kuishI na msanii mkubwa sana kipindi kile akiwa na
connection, nilishawahi kuosha vyombo, nilishawahi kumuogesha mdogo
wake, hayo yote nilikuwa nafanya ili nifanikishe ndoto yangu ya kuwa
msanii’
Kuipata stori kamili unaweza kubonyeza play hapa chini kwenye hii video…
0 comments:
Post a Comment