“Rooney nimemuacha kwa sababu amecheza dakika 90 za kila mchezo toka umeanza msimu akiwa United na England lakini amecheza dakika 90 mechi iliyopita hivyo nimetaka apumzike arefresh kwa ajili ya mechi ijayo, ndio maana hata Valencia na Shaw hajasafiri na timu nataka niwe na kikosi imara leo na katika mchezo wa weekend”
VIDEO: Mourinho katoa ufafanuzi kwa nini kamuacha Wayne Rooney
“Rooney nimemuacha kwa sababu amecheza dakika 90 za kila mchezo toka umeanza msimu akiwa United na England lakini amecheza dakika 90 mechi iliyopita hivyo nimetaka apumzike arefresh kwa ajili ya mechi ijayo, ndio maana hata Valencia na Shaw hajasafiri na timu nataka niwe na kikosi imara leo na katika mchezo wa weekend”
0 comments:
Post a Comment