#BUNGENI:Serikali ipo mbioni kuanza kuwalipa wazee pensheni bila kujali shughuli waliyokuwa wakifanya siku za nyuma.
Naibu Waziri wa Ajira, Kazi na Vijana Antony Mavunde amesema kwa kuanzia
wazee watakuwa wakilipwa shilingi elfu ishirini kwa mwezi na wataanza
kulipwa wazee wenye umri wa miaka sabini na kuendelea.
0 comments:
Post a Comment