
Tukio lililozua taharuki kwa wakazi wa Songea mkoani Ruvuma na kupewa
nafasi kubwa katika vyombo vya habari vya Tanzania na nje ya Tanzania
pamoja na mitandao ya kijamii, huku likiacha gumzo midomoni mwa watu,
kuhusiana na kifo cha Denis Komba kufariki dunia baada...